book

Takadini

Author : MATHEW BOOKSTORE

TZS 6000

Riwaya ya kipeke inayovutia hisia, ambayo inasawiri mila na desturi huku ikijikita katika karne ya 19 nchini Zimbabwe. Japokuwa ilikuwa ni mwiko kuruhusu kuwepo kwa mazeruzeru, yaani wakipokonywa maisha yao punde wazaliwapo, mwanamke mmoja jasiri ana